KISA JEZI YA BIKO KUVALISHWA MAKAMBO, YANGA WAWAKA BALAA, TAMKO LAO HILI HAPA


Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia Ofisa Habari wake, Dismas Ten, umeitaka kampuni ya bahati nasibu 'Biko' kuacha mara moja kuwavalisha wachezaji wake jezi zao kwa kuwa hawajafanya nao mazungumzo.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE