AISHI MANULA ALIVYOPATA MAPOKEZI MAZURI SIMBA SC ILIPOWASILI SHINYANGA KUIVAA MWADUI FC KESHO

Mashabiki wa Simba SC wakimpiga picha kwa furaha kipa Aishi Manula baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili Shinyanga jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mwadui FC kesho Uwanja wa Kambarage


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE