KWA BERNARD MORRISON WA YANGA SC, MAZOEZI NI POPOTE KIPINDI HIKI CHA MLIPUKO WA VIRUSI VYA CORONA

Winga Mghana wa Yanga SC, Bernard Morrison akifanya mazoezi ya kuruka kamba katika maegesho ya magari kwenye nyumba anayoishi eneo la Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam kujiweka fiti kipindi hiki ambacho klabu yake imesimamisha mazoezi ya timu kwa agizo la Serikali kufuatia mlipuko wa virusi vya corona dunaini kote  


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE