KIUNGO MKENYA WA SIMBA SC, FRANCIS KAHATA NYAMBURA AKIJFANYA MAZOEZI BINAFSI KWAO NAIROBI NA BARAKOA YAKE

Kiungo Mkenya wa Simba SC ya Dar es Salaam, Francs Kahata Nyambura akifanya mazoezi peke yake kwao na barakoa Jijini Nairobi kipindi hiki timu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE