NYOTA WA SIMBA SC, IBRAHIM AJIBU MIGOMBA ATOA MISAADA VITUO VYA WATOTO YATIMA DAR

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Ibrahim Ajibu Migomba akikabidhi misaada katika kituo cha watoto yatima cha Umra kilichopo Magomeni Mikumi Jijini jana

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Ibrahim Ajibu Migomba akikabidhi misaada katika kituo cha watoto yatima cha Mayunga kilichopo Kinondoni Moscow Jijini jana



Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA