PAPY KABAMBA TSHISHIMBI AJIUGA NA AS VITA CLUB BAADA YA KUMALIZA MKATABA WAKE YANGA SC


ALIYEKUWA kiungo wa Yanga SC, Papy Kabamba Tshishimbi leo amejiunga na AS Vita ya kwao, Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo (DRC) kufuatia kumaliza mkataba wake tmu ya Jangwani


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE