MESSI APIGA LA PILI BARCELONA YAICHAPA JUVENTUS 2-0 TORINO


Wachezaji wa Barcelona wakimpongeza Nahodha wao, Lionel Messi baada ya kufunga bao la pili dakika ya 90 na ushei kufuatia Ousmane Dembele kufunga la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Juventus kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Allianz Jijini Turin
 


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE