BARCELONA WALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EIBAR LA LIGA


Ousmane Dembele akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 67 katika sare ya 1-1 na Eibar iliyotangulia kwa bao la Kike dakika ya 57 usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou
 


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE