MBAPPE AKOSA PENALTI, LAKINI UFARANSA YASHINDA 2-0 UGENINI


PAMOJA na mshambuliaji wake nyota, Kylian Mbappe kukosa penalti dakika ya 75, lakini Ufaransa jana iliibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Kazakhstan mabao ya Ousmane Dembele dakika ya 19 na Sergiy Maliy aliyejifunga dakika ya 44 katika mchezo wa Kundi D kufuzu Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa Astana Arena mjini Nur-Sultan.
Mabingwa wa dunia, Ufaransa wanafikisha pointi wanafikisha pointi nne baada ya mechi mbili na kuendelea kuongoza kundi kwa pointi mbili zaidi ya Finland na Ukraine, wakati Bosnia-Herzegovina ina pointi moja na Kazakhstan haina kitu
 


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NI YANGA BINGWA KOMBE LA MUUNGANO 2025