MKENYA RAZACK SIWA ASAINI MKATABA WA KUWA KOCHA WA MAKIPA WA KLABU YA YANGA


KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga SC, Hajji Mfikirwa akiwa ameshika nakala za mkataba pamoja na Razak Siwa (kulia) baada ya Mkenya huyo kuajiriwa kama kocha wa makipa wa klabu hiyo leo Dar es Salaam




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE