WACHEZAJI WA AZAM FC WANAVYOENDELEA KUJIFUA KUJIWEKA SAWA KUIVAA MTIBWA SUGAR APRILI 6 CHAMAZI


Abdalllah Kheri (kushoto) akimdhibiti beki mwenzake, Mzimbabwe Bruce Kangwa katika mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mechi yao ijayo ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara Aprili 6 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam 





Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE