STARS YAIFUATA DRC LUBUMBASHI MECHI ALHAMISI


BEKI wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Shomari Kapombe akiwa kwenye ndege wakati wa safari ya kwenda Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajilli ya mchezo wake wa kwanza wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji Alhamisi.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE