SIMBA WATUA MUSOMA KUIVAA BIASHARA


KIKOSI cha Simba tayari kipo Musoma mkoani Mara baada ya safari ya ndege Dar-Mwanza na basi Mwanza- Musoma tayari kwa mchezo wake wa ufunguzi wa Ligi Kuu dhidi ya wenyeji, Biashara United kesho Saa 10:00 jioni Uwanja wa Karume.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE