ASIYEVAA NEMBO YA NBC ANASHUSHWA DARAJA


KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema klabu ambayo haitavaa jezi yenye nembo ya Mdhamini, NBC kuanzia sasa itatozwa faini ya Sh. Milioni 3 kila mchezo na inaweza kuchukuliwa hatua kali ziadi ikiwemo kushushwa Daraja au kufungiwa.









Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE