YANGA YAGAWA KADI ZA KIELEKTRONIKI BUNGENI



SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson akikabidhi kadi ya Uanachama ya Kielektroniki kwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la Yanga, Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika na Waheshimiwa Wabunge katika hafla ya uzinduzi wa kadi mpya za uanachama za Yanga leo Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson akikabidhi kadi ya Uanachama ya Kielektroniki kwa Wabunge katika hafla ya uzinduzi wa kadi mpya za uanachama za Yanga leo Dodoma.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE