WANAFUNZI UDOM WATEMBELEA AZAM COMPLEX



WANAFUNZI na wakiambatana na Serikali yao ya wanafunzi, wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo wametembelea makao makuu ya klabu ya Azam FC, Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali kuhusu klabu hiyo yenye uwekezaji mkubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE