KAYOKO KUCHEZESHA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI


REFA Ramadhani Kayoko ndiye atakayepuliza kipyenga kwenye mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Kayoko atasaidiwa na Frank Kombe, wote wa Dar es Salaam na Mohamed Mkono wa Tanga.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE