MBUNI YAPANDA LIGI YA CHAMPIONSHIP MWANZA


TIMU ya Mbuni FC ya Arusha imefanikiwa kupanda Ligi ya Championship kutoka First League baada ya ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 katika mchezo wa Nusu Fainali leo Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE