WAZIRI WA MICHEZO AWATEMBELEA SERENGETI GIRLS KAMBINI ZANZIBAR


WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa na Naibu wake Pauline Gekul pamoja na baadhi ya viongozi wa wizara na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jana wametembelea kambi ya timu ya soka ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Girls baada ya kutembelea kambi yao Zanzibar kujiandaa na mchezo wa mwisho wa marudiano Kufuzu Kombe la Dunia baadaye mwaka huu nchini India.






Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NYOTA WA SIMBA SC ILIYOFIKA NUSU FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA, ABBAS DILUBGA AFARIKI DUNIA