AZAM PUNGUFU YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 JAMHURI

TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE