AZIZ KI NI MCHEZAJI MPYA NA HALALI WA YANGA SC


KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki kuwa mchezaji wake mpya wa kuelekea msimu ujao. 
Aziz Ki anakuwa mchezaji mpya wa tano Yanga SC baada ya beki Mkongo, Lomalisa Mutambala kutoka Sagrada Esperança ya Angola, kiungo Mrundi, Gael Bigiriamana kutoka Glentoran ya Ireland Kaskazini, winga Mghana, Bernard Morrison kutoka Simba na mshambuliaji Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.






Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA