BARBARA ATUA NIGERIA KUKAMILISHA USAJILI WA KIUNGO MPYA


MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez (kulia) akiwa na kiungo Mnigeria, Nelson Esor-Bulunwo Okwa (28) nchini Nigeria ambako amekwenda kukamilisha usajili wake ajiunge na Wekundu hao wa Msimbazi kutoka klabu ya Rivers United ya kwao.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE