GEIT GOLD YAWASAJILI NTIBANZOKIZA NA LUIZIO

 
KLABU ya Geita Gold imejiimarisha kwa kusajili wachezaji wawili wazoefu, kiungo Mrundi Saido Ntabanzokiza na mshambuliaji mzawa, Juma Luizio.
Ntibanzokiza anajiunga na Geita Gold baada ya misimu miwili ya kuichezea Yanga, wakati Luizio anatokea Mbeya City.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE