REFA WA YANGA NA COASTAL ARUSHA AFUNGIWA

REFA Raphael Ikambi wa Morogoro ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mizinguko mitatu kufuatia kushindwa kutafsiri kanuni kwenye kati ya Coastal Union na Yanga Agosti 21, Uwanja wa Sheikh Amri Abied Jijini Arusha. 








Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE