TFF YAWAPA POLE YANGA KWA MSIBA WA SHABIKI WAO


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa pole kwa klabu ya Yanga kufuatia kifo cha shabiki wake mmoja kwenye ajali ya gari akiwa safarini na wenzake kwenda Arusha kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE