ALLY MAYAY TEMBELE MKURUGENZI MPYA WA MICHEZO


ALIYEWAHI kuwa Nahodha wa timu ya taifa na klabu ya Yanga, Ally Mayayi Tembele ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo akichukua nafasi ya Yusuph Singo.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE