MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI


WINGA Mghana wa Yanga, Bernard Morrison amefungiwa mechi tatu kwa kumchezea rafu mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika mechi baina ya timu hizo, wakati refa wa mechi hiyo Ahmed Arajiga amepelekwa Kamati ya Waamuzi.






Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE