NEEMA SIMBA QUEENS, YAPATA UDHAMINI MNONO WA M-BET


TIMU ya Simba Queens leo imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na kampuni ya michezo ya kubashiriki ya M-Bet wenye thamani ya Tsh. bilioni moja.
Simba Queens itaanza kutumia jezi zenye nembo ya M-Bet kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE