KABURU, MANGUNGU WAITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI SIMBA SC


MWENYEKITI wa sasa wa Simba SC, Murtaza Ally Mangungu pamoja na Makamu Mwenyekiti wa zamani, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ ni miongoni mwa wagombea walioitwa kwenye usaili kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa klabu mapema mwakani.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE