SIMBA SC YAPANGWA NA RAJA, HOROYA NA VIPERS YA UGANDA


TIMU ya Simba SC ya Tanzania imepangwa Kundi C pamoja na Raja Casablanca ya Morocco, Horoya ya Guinea na Vipers ya Uganda katika Hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Kundi A kuna mabingwa watetezi, Wydad Athletic ya Morocco, Petro Atletico ya Angola, AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Kundi B kuna Al Ahly ya Misri, Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, El Hilal ya Sudan na Cotón Sport ya Cameroon, wakati Kundi D zipo Esperance ya Tunisia, Zamalek ya Misri, CR Belouizdad ya Algeria na El Merreikh ya Sudan.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE