SIMBA, YANGA NA AZAM ZATENGANISHWA KOMBE LA MAPINDUZI


MABINGWA watetezi, Simba SC wamepangwa Kundi C pamoja na Mlandege na KVZ katika michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Januari 1 hadi 13, mwakani.
Kwa upande wao, mabingwa wa Bara, Yanga SC wao wapo Kundi B pamoja na Singida Big Stars na wenyeji, KMKM ambao pia ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Zanzibar.
Kundi A linaundwa na Azam FC ya Dar es Salaam, wenyeji, Malindi SC na Jamhuri FC ya Pemba, wakati Kundi D kuna Namungo ya Lindi, Aigle Noir ya Burundi na Chipukizi ya Pemba.
RATIBA KOMBE LA MAPINDUZI
Januari 1, 2023

Mlandege v KVS Saa 10:15
Malindi SC v Jamhuri Saa 2:15
Januari 2, 2023
Namungo v Chipukizi Saa 10:15
Singida BS v KMKM Saa 2:15
Januari 3,2023
Azam FC v Malindi SC Saa 10:15
Simba SC v Mlandege Saa 2:15
Januari 4, 2023
Chipukizi v Aigle Noir Saa 10:15
Yanga SC v KMKM Saa 2:15
Januari 5, 2023
Jamhuri v Azam FC Saa 10:15
KVZ v Simba SC Saa 2:15
Januari 6, 2023
Namungo v Aigle Noir Saa 10:15
Yanga SC v Singida BS Saa 2:15
Januari 8, 2023
NUSU FAINALI 1 
Saa 2:15
Januari 9, 2023
NUSU FAINALI 2 
Saa 2:15
Januari 13,2023
FAINALI 
Saa 2:15
(Nusu Fainali ya kwanza ni mshindi wa Kundi A dhidi ya mshindi Kundi B na ya pili ni mshindi wa Kundi C dhidi ya mshindi wa Kundi D).


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NI YANGA BINGWA KOMBE LA MUUNGANO 2025