KAJULA NDIYE MTENDAJI MKUU MPYA SIMBA SC


KLABU ya Simba imetambulisha Imani Kajula kuwa Mtendaji wake Mkuu mpya, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba kwa notisi ya mwezi mmoja na kuondoka madarakani Januari mwaka huu.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE