KASEKE AFUNGIWA NA FAINI JUU KWA USHIRIKINA


MCHEZAJI wa Singida Big Stars, Deus Kaseke amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. 500,000 kwa tuhuma za kufanya mambo ya kishirikina kwenye mchezo dhidi ya Azam FC Januari 23, mwaka huu Uwanja wa LITI mjini Singida.





Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE