NAMUNGO FC YATOA SARE 1-1 NA AL HILAL CHAMAZI


TIMU ya Namungo FC leo imetoka sare ya kufungana bao 1-1 na Al Hilal ya Sudan katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Namungo ilitangulia kwa bao la Shiza Ramadhani Kichuya dakika ya 37, kabla ya Yesir Awadh kuisawazishia Al Hilal dakika ya 90 na ushei. 


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA