TANZANIA YAANZA VIBAYA MICHEZO YA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI


TIMU ya taifa ya Soka la Ufukweni, imeanza vibaya Michezo ya Afrika baada ya kufungwa na Morocco 6-4 katika mchezo wa Kundi la Kwanza Ufukweni wa Hammamet nchini Tunisia.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE