GEITA GOLD YAANZA VYEMA LIGI KUU, YAICHAPA IHEFU 1-0


BAO pekee la Elias Maguri dakika ya tano limetosha kuipa Geita Gold ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ihefu SC katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE