KITAYOSCE YAFUNGIWA KUSAJILI LEO INACHEZA NA AZAM FC CHAMAZI


WAKATI leo inashuka dimbani kumenyana na Azam FC katika mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, klabu ya Kitayosce imefungiwa kusajili katika dirisha hili la usajili kwa kosa la kutowalipa wachezaji wake wa kigeni waliopandisha timu.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE