TFF YAZIKUMBUSHA KLABU KUFUATA LESENI ZA WACHEZAJI KARUME


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limezikumbusha klabu kufika makao makuu ya bodi hiyo ya kabumbu nchini kuchukua leseni za wachezaji zilizowasajili kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.



Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA