KAKOLANYA MCHEZAJI BORA WA MWEZI SINGIDA BIG STARS


KIPA Beno David Kakolanya ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba wa klabu ya Singida Big Stars na kuzawadiwa kitita cha Sh. Milioni 1 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya JET & Sons.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE