SIMBA SC KUSHIRIKI KOMBE LA MUUNGANO ZANZIBAR


TIMU ya Simba SC itashiriki michuano ya Kombe la Muungano inayoandaliwa kwa pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Shirikisho la Soka Zanzíbar (ZFF) kuazimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzíbar.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE