AZAM FC YAACHANA NA BEKİ MGHANA DANIEL AMOAH


KLABU ya Azam FC imeachana na beki wake Mghana, Daniel Amoah (26) baada ya kuitumikia klabu kwa miaka nane tangu alipowasili kutoka Medeama SC ya kwao mwaka 2017.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE