CLARA LUVANGA: NILIUMIA KUSHUTUMIWA MIMI MWANAUME

MSHAMBULIAJI wa kike wa kimataifa wa Tanzania, Clara Cleitus Luvanga (19) anayechezea klabu ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia amesema aliumia sana kushutumiwa yeye ni mwanaume kiasi ilimuathiri Kisaikolojia na kushindwa kabisa kucheza wakati huo hadi akaondolewa timu ya taifa ya taifa.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NYOTA WA SIMBA SC ILIYOFIKA NUSU FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA, ABBAS DILUBGA AFARIKI DUNIA