FIFA YAIRUHUSU YANGA SC KUSAJILI WACHEZAJI WAPYA


SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifutia Yanga SC adhabu ya kutosajili mchezaji mpya baada ya kukamilisha malipo ya mshambuliaji wake wa zamani, Mzambia Lazarous Kambole.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE