MBWANA MAKATTA KOCHA MPYA WA TANZANIA PRISONS


KLABU ya Tanzania Prisons imemtambulisha Mbwana Makatta kuwa Kocha wake mpya Mkuu kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Makatta mwenye uzoefu wa kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu kwa zaidi ya miaka 30 - anajiunga na Tanzania Prisons baada ya kuondolewa Pamba Jiji FC kufuatia kuipandisha Ligi Kuu.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NYOTA WA SIMBA SC ILIYOFIKA NUSU FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA, ABBAS DILUBGA AFARIKI DUNIA