SHAABAN CHILUNDA NAYE AONYESHWA GETI LA KUTOKEA SIMBA SC


MSHAMBULIAJI Shaaban Iddi Chilunda amekuwa mchezaji wa tatu kuachwa na klabu ya Simba SC baada ya kumalizika msimu ikishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Chilunda (25) alijiunga na Simba SC mwanzoni mwa msimu akitokea Azam FC, lakini wakati wa dirisha dogo akatolewa kwa mkopo KMC.
Anakuwa mchezaji wa tatu kuachwa baada ya aliyekuwa Nahodha John Raphael Bocco na kiungo Mrundi, Saido Ntibanzokiza.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA

NYOTA WA SIMBA SC ILIYOFIKA NUSU FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA, ABBAS DILUBGA AFARIKI DUNIA