PAMBA SULUHU YA PILI MFULULIZO NYUMBANI LEO BAADA YA KUPANDA LIGI KUU


TIMU ya Pamba Jiji FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Hiyo inakuwa suluhu ya pili mfululizo nyumbani kwa Pamba iliyorejea Ligi Kuu msimu huu kufuatia kutoka sare ya 0-0 pia katika mchezo wa kwanza na Tanzania Prisons hapo hapo Kirumba.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA