AZAM FC SASA BENCHI LA UFUNDI NI LA MOROCCO


KLABU ya Azam FC imetambulisha benchi jipya la Ufundi chini ya Kocha Mkuu Mmoroco, Rachid Taoussi (65) mwenye uzoefu wa kufundisha kuanzia mwaka 1992.
Taoussi anajiunga na Azam FC kwa Mkataba wa mwaka mmoja kwa pamoja na wasaidizi wake watatu, Kocha Msaidizi, Ouajou Driss, Kocha wa utimamu wa mwili, Badr Eddine na Kocha wa makipa, Rachid El Mekkaoui wote Wamorocco. 


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA