BOCCO, NDEMLA NA DILUNGA WAUMIA AJALI YA BASI LA JKT TANZANIA


WACHEZAJI kadhaa wa JKT Tanzania wamerepotiwa kuumia katika ajali ya basi lao wakitokea Dodoma ambako jana walikuwa wana mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji na kufungwa 1-0.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE