SIMBA SC YASITISHA MKATABA NA CEO MNYARWANDA, MWANAMAMA ZUBEDA ACHUKUA NAFASI

KLABU ya Simba imesitisha mkataba na Mtendaji wake Mkuu, Mnyarwanda Francois Regis kwa maridhiano ya pande zote mbili kutokana na kile kilichoelezwa, sababu zilizo nje ya uwezo wao.
Simba imesema kwamba nafasi ya Utendaji Mkuu wa klabu yake kwa sasa atakaimu mwanamama Zubeda Hassan Sakuru.



Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA