KAGERA SUGAR YAAMBULIA SULUHU KWA PRISONS KAITABA


WENYEJI, Kagera Sugar wametoa sare ya bila mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera.
Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar inafikisha pointi 10, ingawa inabaki nafasi ya 14 ikizidiwa pointi moja na zote, Pamba Jiji na Tanzania Prisons zinazofuatana nafasi ya 12 na 13 baada ya wote kucheza mechi 13.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA